• HABARI MPYA

    Friday, May 18, 2012

    BURIANI MAFISANGO...


     Heshima za mwisho. Picha zote na Mpiga Picha wa Habari Mseto Blog.
     Haruna Moshi akitoa heshima za mwisho.
    Nahodha wa Simba, Juma Kaseja akitoa heshima za mwisho.
     Emmanuel Okwi akitoa heshima za mwisho.
     Makocha wa Stars, Silvester Marsh na Kim Poulsen wakati wa ibada ya kuaga mwli wa Mafisango.
     Katibu Mkuu wa Yanga, Celestine Mwesigwa akitoa salamu wakati wa kuaga mwili wa marehemu, Mafisango.
     Mamia ya wadau wa Soka wakiwa wamekusanyika katuika viwanja vya Sigara TCC Club, Chang'ombe jijini Dar es Salaam kuaga mwili wa aliyekuwa kiungo wa Simba. Patrick Mafisango mchana huu.
     Askari wa Usalama Barabarani akiongoza msafara wakati mwili wa marehemu, Mafisango ulikiwasili katika viwanja vya TCC Club.
    Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (wa pili kushoto) akiwasili katika viwanja vya Sigara jijini Dar es Salaam wakati wa ibada ya kuaga mwili wa marehemu, Patrick Mafisango. 
                            Beki wa Simba, Juma Nyoso pamoja na John Boko wakiwa wamebeba jeneza.
     Mlezi wa klabu ya simba, Prof. Philimon Sarungi akimfariji Mwenyekiti wa Simba, Aden Rage.
    Boban akiwa na huzuni.

    Mwenyekiti wa Simba Ismail Rage akisoma wasifu wa marehemu.
    Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara akitoa heshima za mwisho wakati wa ibada ya kuaga mwili wa marehemu, Patrick Mafisango. 
    Kocha wa Simba akitoa heshima za mwisho.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BURIANI MAFISANGO... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top