• HABARI MPYA

    Saturday, May 12, 2012

    MVUA YAVURUGA MECHI YA TAIFA QUEENS NA BOTSWANA TAIFA

    Maofisa wa kampuni ya Superdoll, Jamal Bayser kulia na Ibrahim Juma kushoto wakisubiri mechi hiyo.

    MECHI ya mwisho ya mashindano ya Afrika ya Netiboli yanayofikia tamati leo Dar es Salaam, kati ya wenyeji Tanzania na Botswana imechelewa kuanza kutokana na mvua inayoendelea kwenye Uwanja wa Taifa.
    Mgeni rasmi, mke wa makamu wa rais, mama Bilal na mke wa Waziri Mkuu mama Pinda hawajafika bado. Tayari CHANETA imeamua mechi zihamie Uwanja wa ndani wa Taifa.
    Mechi hiyo ilipangwa kuanza saa 7:00 mchana na Tanzania ikishinda itakuwa mshindi wa pili, wakati Malawi tayari wametetea ubingwa wao kwa kushinda mechi zote.
    Gwiji wa mpira wa kikapu Tanzania Saleh Zonga kulia

    Wachezaji na maofisa wa Zambia

    Wachezaji wa mabingwa wa Afrika Netoboli, Malawi 

    Mtoto wa beki wa Azam FC, Joseph Owino aitwaye, Perrie, aliyezaa na mcheza netiboli Sofia Komba, naye anaisubiri kwa hamu mechi

    Taifa Queens wamepasha hadi wamechoka

    Katibu wa CHANETA, Rose Mkisi kaamua kutulia tu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MVUA YAVURUGA MECHI YA TAIFA QUEENS NA BOTSWANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top