• HABARI MPYA

    Saturday, August 18, 2012

    PATI LA UBINGWA SIMBA SC LILIVYOFANA TAIFA USIKU WA LEO

    Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo, Dk Fenella Mkunagara (kushoto)akimkabidhi Kombe Nahodha wa Simba B, Hassan Hatibu 

    Simba wakishangilia kombe lao baada ya kukabidhiwa

    Dk Mukangara akikagua wachezaji wa Simba

    Kikosi cha kwanza cha Simba B

    Mtibwa 'full muziki'

    Hatari langoni mwa Mtibwa

    BAO LA KWANZA; Edward Christopher akishangilia, nyuma yake Kado akilaumiana na beki wake 

    KAKA VIPI? Kocha wa Mtibwa Sugar akizungumza na Nahodha wake, Salum Swedi

    Edward Christopher akitafuta mbonu za kumtoka Yussuf Nguya

    Edward anamtoka Nguya

    Kado anadaka, huku Swedi akimlinda

    Haroun Athumani akimburuza Swedi

    Rashid Ismail akimuinua Edward, baada ya kugongana na Kado, aliyelala chini

    Kado anatibiwa, huku mabeki wa Mtibwa wakiulizana kulikoni wanaburuzwa na wadogo zao

    Hapa wakati timu zikijiandaa kuingia kwenye dakika 30 za nyongeza

    Mawaidha kuelekea dakika 30 za nyongeza

    Edo kafunga la ushindi

    Edo kulia akishangilia na mwenzake

    Ibrahim Ajibu akishangilia kwa staili yake mbele ya jukwaa la Yanga

    Matokeo ya mwisho

    William Lucian kulia akijiandaa kumtoka mtu

    Wachezaji wa Simba wakiwa wamembeba kocha wao kumpongeza

    Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' akimpongeza kocha Matola

    Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala akimpongeza Abuu

    Huyu ndiye Golden Boy wa Simba baadaye, Edward Christopher

    Edward akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Mlioni 2 Edward

    MVP Abuu akikabidhiwa mfano wa hundi

    Wachezaji wa Mtibwa wakipewa Medali zao

    Nahodha wa Mtibwa, Swedi akipokea mfano wa hundi ya Sh. Milioni 20 zawadi ya washindi wa pil

    Mabingwa wa kwanza wa Kombe la BankABC Sup8R
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PATI LA UBINGWA SIMBA SC LILIVYOFANA TAIFA USIKU WA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top