• HABARI MPYA

    Saturday, October 06, 2012

    CHELSEA YAPIGA MTU MKONO KASORO KIDOLE, YAZIDI KUPAA ENGLAND


    Chelsea imejiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu ya England, baada ya kuichapa mabao 4-1 Norwich nyumabni. Grant Holt aliifungia Norwich bao la kuongoza dakika ya 11, lakini Chelsea ilisawazisha kupitia kwa Fernando Torres kabla ya Frank Lapard na Eden Hazard kufunga mabao ya ushindi kipindi hicho hicho cha kwanza na Branislav Ivanovic kuhitimisha karamu ya mabao ya ushindi wa 4-1 zikiwa zimebaki dakika 15. Chelsea imefikisha pointi 19, baada ya kucheza mechi saba na kuendelea kuongoza Ligi Kuu, ikiwazidi pointi nne mabingwa watetezi, Man City .  
    Easy does it: Eden Hazard puts Chelsea ahead against Norwich
    Eden Hazard akiifungia Chelsea 
    Outnumbered: Fernando Torres is watched by Javier Garrido and Leon Barnett
    Fernando Torres akiwa chini ya ulinzi wa Javier Garrido na Leon Barnett
    Back in the game: Torres scores for Chelsea
    Torres baada ya kufunga
    No chance: John Ruddy stands as Frank Lampard's shot goes past him
    John Ruddy akitunguliwa na Frank Lampard
    Mr reliable: Frank Lampard scores for Chelsea
    Frank Lampard baada ya kuifungia Chelsea
    Back doing the day job: John Terry and Ashley Cole both started for Chelsea
    John Terry na Ashley Cole wote walicheza leo
    Job done: Branislav Ivanovic celebrates scoring Chelsea's fourth
    Branislav Ivanovic akipongezwa na John Obi Mikel kwa kufunga bao la nne


    Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2213759/Chelsea-4-Norwich-1-Match-report.html#ixzz28XH2JMtn
    Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook



    MATOKEO MECHI ZOTE ZA LEO NA WAFUNGAJI LIGI KUU ENGLAND

    06 October 
    Chelsea4 - 1Norwich
    FJS Torres (13)
    F Lampard (21)
    E Hazard (30)
    B Ivanovic (75)
    G Holt (10)
    Stamford BridgeAttendance (41784)
    Teams
    06 October 
    West Brom3 - 2QPR
    J Morrison (4)
    Z Gera (21)
    Y Mulumbu (84)
    A Taarabt (34)
    EM Granero (90)
    The HawthornsAttendance (23987)
    Teams
    06 October 
    Swansea2 - 2Reading
    MPC Michu (70)
    W Routledge (77)
    P Pogrebnyak (30)
    N Hunt (43)
    Liberty StadiumAttendance (20336)
    Teams
    06 October 
    Wigan2 - 2Everton
    A Kone (9)
    F Di Santo (22)
    N Jelavic (10)
    L Baines (pen 86)
    The DW StadiumAttendance (18759)
    Teams
    06 October 
    Man City3 - 0Sunderland
    A Kolarov (4)
    SL Aguero (59)
    J Milner (88)
     
    Etihad StadiumAttendance (47036)
    Teams | Report
    01 October 
    QPR1 - 2West Ham
    A Taarabt (56)M Jarvis (2)
    R Vaz Te (34)
    Loftus Road StadiumAttendance (17363)
    Teams | Report

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAPIGA MTU MKONO KASORO KIDOLE, YAZIDI KUPAA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top