Chelsea imejiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu ya England, baada ya kuichapa mabao 4-1 Norwich nyumabni. Grant Holt aliifungia Norwich bao la kuongoza dakika ya 11, lakini Chelsea ilisawazisha kupitia kwa Fernando Torres kabla ya Frank Lapard na Eden Hazard kufunga mabao ya ushindi kipindi hicho hicho cha kwanza na Branislav Ivanovic kuhitimisha karamu ya mabao ya ushindi wa 4-1 zikiwa zimebaki dakika 15. Chelsea imefikisha pointi 19, baada ya kucheza mechi saba na kuendelea kuongoza Ligi Kuu, ikiwazidi pointi nne mabingwa watetezi, Man City .
Eden Hazard akiifungia Chelsea
Fernando Torres akiwa chini ya ulinzi wa Javier Garrido na Leon Barnett
Torres baada ya kufunga
John Ruddy akitunguliwa na Frank Lampard
Frank Lampard baada ya kuifungia Chelsea
John Terry na Ashley Cole wote walicheza leo
Branislav Ivanovic akipongezwa na John Obi Mikel kwa kufunga bao la nne
Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2213759/Chelsea-4-Norwich-1-Match-report.html#ixzz28XH2JMtn
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
MATOKEO MECHI ZOTE ZA LEO NA WAFUNGAJI LIGI KUU ENGLAND
|
| ||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
| ||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|
0 comments:
Post a Comment