• HABARI MPYA

    Thursday, October 04, 2012

    MATUKIO MBALIMBALI SIMBA NA YANGA JANA TAIFA NDANI NA NJE YA UWANJA

    Ally Mustafa 'Barthez' akisalimiana na Amri Kiemba baada ya mechi

    Barthez na Chollo

    Waghana; Yaw Berko na Daniel Akuffo wa Simba

    Barthez na Kaseja

    Kocha wa Yanga, Ernie Brandts


    Simba wanapsaha


    Yanga wanapasha


    Msafiri Mgoyi kazini


    Mashabiki wa Simba


    Kiemba akipongezwa kwa bao la kuongoza


    Simba wakishangilia bao la kutangulia


    Bahanuzi anaweka mpira gambani mbele ya Kapombe, Paul Ngalema akiwa tayari kusaidia


    Hapa Bahanuzi alimuumiza Kapombe, anatibiwa huku wachezaji wa Simba wakimlalamikia refa Akrama 


    Hesabu za Kapombe kwenye mpira...kubali, kataa, dogo bonge la beki


    Kapombe anamdhibiti Bahanuzi


    Haruna anatafuta maarifa ya kumtoka Jonas Mkude


    Cannavaro chupuchupu afunge kwa kichwa hapa


    Paul Ngalema akimdhibiti Kiiza Diego


    Niyonzima akimsema ovyo Nyosso baada ya kufanyiwa 'undavaku'


    Nizar Khalfan kulia na Mrisho Ngassa kushoto


    Mrisho anamkaba Mwasyika


    Mashabiki wa Simba


    Chollo anamdhibiti Bahanuzi


    Kavumbangu anawashughulisha mabeki wa Simba..ameenda hewani kutoa pasi ya kichwa kwa Bahanuzi
    Iddi Moshi akiingia na mwanawe Amran

    Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga katikati

    Kocha Mkuu wa taifa Stars, Kim Poulsen kulia, katikati kocha wa timu za vijana, Jacob Michelsen na mpenzi wake kushoto 

    Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Isaac Shekiondo

    Wadau

    Alex Mgongolwa kushoto akiwa na Mohamed Bhinda
    Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' kulia akiwa na beki na kocha wa zamani wa Simba, Jamhuri Kihwelo
    Alikuwa anaangalia mpira nyuma ya lango la Simba
    Simba wanaingia

    Friends Of Simba 'wanakaba'

    Friends Of Simba 
    Yanga wanapasha
    Vigogo wa Simba


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MATUKIO MBALIMBALI SIMBA NA YANGA JANA TAIFA NDANI NA NJE YA UWANJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top