• HABARI MPYA

    Tuesday, November 13, 2012

    BALOZI WA HENNESSY AFUNGUKA DAR

    Balozi wa kampuni ya Hennessy, Cyrile Auriol akizungumza na Waandishi wa Habari asubuhi ya leo katika ukumbi wa Kivukoni, ndani ya hoteli ya Serena, Dar es Salaam. Balozi Auriol alitua Dar es Salaam jana akitokea Paris, Ufaransa na atakuwa nchini kwa ziara ya siku tatu kabla ya kuelekea Nairobi kwa muendelezo wa ziara yake nchi za Afrika Mashariki. Akiwa Dar es Salaam Balozi Auriol atahudhuria matukio mbalimbali, maalum ya chakula cha jioni na uonjaji wa kinywaji hicho ambazo, zimeandaliwa ili kuwazawadia watumiaji wa kinywaji hicho nchini ambao sasa wanafurahia kampeni ya kinywaji hicho iitwayo ‘ Flaunt Your Taste’.

    Balozi akizungumza

    Meneja Masoko wa Hennessy, Omar Salisburry

    Balozi wa Hennessy akiwa maofisa wenzake

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BALOZI WA HENNESSY AFUNGUKA DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top