• HABARI MPYA

    Thursday, November 08, 2012

    BOBAN NA JUMA NYOSSO WAIBUKIA TIMU MPYA BAADA YA KUSIMAMISHWA SIMBA

    Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Iddi Moshi, akimtoka mdogo wake, Haruna Moshi, kiungo aliyesimamishwa Simba SC katika mazoezi ya timu ya Al Nasri kwenye Uwanja wa shule ya msingi Muhimbili, Dar es Salaam jioni ya leo. 

    Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Iddi Moshi, akimtoka mdogo wake, Haruna Moshi, kiungo aliyesimamishwa Simba SC katika mazoezi ya timu ya Al Nasri kwenye Uwanja wa shule ya msingi Muhimbili, Dar es Salaam jioni ya leo. 

    Kiungo wa Coastal Union, Mohamed Bins Slum akiwatoka wachezaji wenzake wa Al Nasri, Hussein Kaburu kushoto na Nizar Dunga kulia. Pembeni kabisa kulia ni Juma Nyosso akiwa tayari kutoa msaada kwenye Uwanja wa shule ya msingi Muhimbili, Dar es Salaam jioni ya leo. 

    Beki aliyesimamishwa Simba SC, Juma Nyosso akipiga mpira kichwa mbele ya mshambuliaji wa zamani wa Simba SC, Mohamed Kijuso katika mazoezi ya timu ya Al Nasri kwenye Uwanja wa shule ya msingi Muhimbili, Dar es Salaam jioni ya leo. 

    Hussein Kaburu akimtoka Bin Slum, kulia ni Dunga

    Boban akitoa pasi mbele ya Dunga na Diata

    Mohamed Bin Slum akimiliki mpira mbele ya Hussein Kaburu na Juma Nyosso

    Juma Nyosso akiosha

    Rama Twite kulia akiondoka na mpira huku akimuacha hoi Nassor Bin Slum

    Iddi Moshi kulia akiwa ng’ado kwa ng’ado na Haruna Moshi

    Rama Twite akiondoka na mpira huku Nassor Bin Slum akionyeshana kazi na bwana mdogo

    Nassor Bin Slum akimkwatua kwa nyuma Haruna Moshi

    Cheki beki anavyokaba…

    Cheki beki anavyokaba…

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BOBAN NA JUMA NYOSSO WAIBUKIA TIMU MPYA BAADA YA KUSIMAMISHWA SIMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top