• HABARI MPYA

    Saturday, November 24, 2012

    ETHIOPIA YAIFUNGA KWA MBINDE SUDAN KUSINI TUSKER CHALLENGE

    Mshambuliaji wa Sudan Kusini, Hamisi Leon akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Ethiopia katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na kati, CECAFA Tusker Challenge uliofanyika kwenye Uwanja wa Mandela, Mamboole, Kampala, Uganda. Ethiopia imeshinda 1-0, bao pekee la Yonatal Kebede Teklemariam kipindi cha pili. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ETHIOPIA YAIFUNGA KWA MBINDE SUDAN KUSINI TUSKER CHALLENGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top