• HABARI MPYA

    Monday, November 26, 2012

    NIYONZIMA AING'ARISHA RWANDA KAMPALA

    Nahodha wa Rwanda, Haruna Niyonzima (katikati) akidhibitiwa na wachezaji wa Malawi, katika mchezo wa Kundi C, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge 2012 uliofanyika kwenye Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda usiku huu. Rwanda ilishinda 2-0, mabao ya Jean Baptiste Mugiraneza dakika ya 37 na Haruna Niyonzima dakika ya 79.

    Wachezaji wa Rwanda wakishangilia bao lao la kwanza ushindi.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: NIYONZIMA AING'ARISHA RWANDA KAMPALA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top