• HABARI MPYA

    Friday, December 14, 2012

    AZAM NDANI YA J.N.I.A. TAYARI KWA SAFARI YA KINSHASA

     Uhuru
     kutoka kulia Mwaikimba, Babbi na kocha wa makipa wa Kenya, Razzack Ssiwa wakikumbushia enzi zao walipokuwa Yanga, baada ya kukutana Airport leo
     Kipre Tchetche
     Jabir Aziz
     Kocha Stewart Hall 
    Himid Mao anachaji simu 
    Katibu wa Azam, Nassor Idrisa akiwa na Abubakar Makwisa mida hii ndani ya Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam tayari kwa safari ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kushiriki Kombe la Hisani, mashindano ambayo yanaanza leo
    Wachezaji wapya wa Azam FC, Uhuru Suleiman na Seif Abdallah kwa nyuma, wakiwa ndani ya Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam mida hii tayari kwa safari ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kushiriki Kombe la Hisani, mashindano ambayo yanaanza leo mjini Kinshasa.


    Wachezaji wanaingia ndani


    Daktari wa Azam, Mjerumani Gomiz akiingia uwanja waq ndege


    Kutoka kulia Zahor Pazi, Uhuru na Himid


    Kutoka kulia Abubakar Mapwisa, Nassor na Abdi Kassim 'Babbi'


    Msemaji wa Azam, Jaffar Iddi kulia katikati kipa wa zamani wa Simba na Yanga, Abdulamalik Nemes na Ofisa wa Azam FC, Jemedari Said nje ya uwanja wa Ndege

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AZAM NDANI YA J.N.I.A. TAYARI KWA SAFARI YA KINSHASA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top