• HABARI MPYA

    Wednesday, December 12, 2012

    UGANDA ONE ALIVYOMWAGA WINO SIMBA SC LEO

    Kulia, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe akizungumza na kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira kushoto. Mwingine Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala wakati kipa huyo alipokuwa akisaini mkataba wa  miaka miwili kuichezea Simba SC usiku huu katika hoteli ya JB Belmonte, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

    Kulia, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe na kushoto ni wakala wa kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira kushoto akihesabu dola za Kimarekani alizolipwa kipa huyo kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba SC

    K
    Kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira akisaini mkataba mbele ya Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala .

    Wakala wa Dhaira akihesabu mpunga

    Dhaira anatia dole gumba

    Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe kushoto akiwa na kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira wakati akisaini mkataba wa  miaka miwili kuichezea Simba SC. 
    Tazama mlingoti huo, Dhaira kulia akiwa na Hans Poppe


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: UGANDA ONE ALIVYOMWAGA WINO SIMBA SC LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top