LABDA hii inaweza kuwa njia pekee ya kumdhibiti Lionel Messi asifunge mabao - kwa kumuwekea kipa Robot la Kijapani.Messi sasa anaitwa 'Mtambo wa kuua', baada ya kufunga mabao 57 msimu huu.
Amewaacha makocha wa La Liga na Ulaya yote wanaumiza vichwa vyao juu ya namna ya kumdhibiti mshambuliaji huyo wa Kiargentina.
Amewaacha makocha wa La Liga na Ulaya yote wanaumiza vichwa vyao juu ya namna ya kumdhibiti mshambuliaji huyo wa Kiargentina.
Nenda katazame video chini kabisa
Mtu VS mashine: Messi akijiandaa kupiga mpira dhidi ya kipa Robot
Anakwenda: Messi anajivuta kupiga penalti (juu) na angalia mkwaju wake unavyookolewa (chini)
Lakini mpachika mabao huyo wa Barcelona, ambaye mbele ya wengi anapewa heshima ya mchezaji bora zaidi daima kuwahi kutokea duniani, alichemsha wakati akipambana na mashine hiyo katika mchezo ulioonyeshwa na Televisheni ya Japan.Messi alipiga penalti tatu dhidi ya Robot hilo, lakini akakosa mbili za kwanza.