• HABARI MPYA

    Wednesday, July 10, 2013

    ZAHA AGEUKA KITUKO MAN UNITED IKIONDOKA KWENDA MASHARIKI YA MBALI...AVAA OVYO HADI IKABIDI ABADILISHE NGUO UWANJA WA NDEGE

    IMEWEKWA JULAI 10, 2013 SAA 1:52 USIKU
    MSHAMBULIAJi mpya wa Manchester United, Wilfried Zaha alikuwa kituko wakati timu hiyo inaondoka Uwanja wa Ndege kwa ziara yake ya Mashariki mbali kujiandaa na msimu mpya.
    Wakati wacehzaji wenzake wote walifika Uwanja wa Ndege wakiwa wamevaa suti za klabu na tai, Zaha, ambaye amejiunga na timu hiyo akitokea Crystal Palace, lazima atakuwa hakupata ujumbe kuhusu vazi. 
    Awkward: New Manchester United signing Wilfried Zaha was the only member of the squad to arrive at the airport in casual dress as the club depart for their pre-season tour to the Far East
    Awkward: New Manchester United signing Wilfried Zaha was the only member of the squad to arrive at the airport in casual dress as the club depart for their pre-season tour to the Far East
    Kivyake: Mchezaji mpya wa Manchester United, Wilfried Zaha alikuwa mchezaji pekee aliyewasili amevaa kivyake
    Casual: Zaha turned up in a white t-shirt, jeans and trainers, claiming to security staff he'd misplaced his official club suit (below)
    Vazi la disko: Zaha alipiga T-shirt, jinzi na raba
    Casual: Zaha turned up in a white t-shirt, jeans and trainers, claiming to security staff he'd misplaced his official club suit (below)
    Winga huyo wa England aliteremka katika gari lake akiwa amevaa fulana nyeupe na jinzi na raba, akisema amepoteza nguo zake za zamani.
    Alilazimika kuomba walinzi wa United kumpatia suti nyingine na kisha akabadilisha pale pale Uwanja wa ndege kabla ya kukwea pipa. 
    Zaha ni sehemu ya msafara wa watu 198, wakiwemo makocha, wachezaji na viongozi waliosafiri kwenda Bangkok  kwa ajili ya mechi ya kwanza kati ya tano za ziara ya Asia na Australia.
    Quick change: Zaha looked a good deal happier when a suit had been found
    Quick change: Zaha looked a good deal happier when a suit had been found
    Alibadili haraka: Zaha alionekana vizuri na mweney furaha baada ya kuvaa suti
    Wachezaji waliwasili saa 1:00 usiku ikiwa ni saa mbili kabla ya ndege kuondoka.
    Miongoni mwa wachezaji walioondoka ni Wayne Rooney, ambaye amekuwa akihusishwa kwa kiasi kikubwa kuondoka Old Trafford majira haya ya joto, kuhamia kwa wapinzani wa Ligi Kuu England, Chelsea. 
    Kwa sasa anabakiwa kuwa mchezaji wa United na anatarajiwa kuwamo katika kikosi kitakachocheza mechi ya kwanza dhidi ya Singha All Star XI mjini Bangkok Jumamosi.
    Kocha David Moyes amesema katika mahojiano na Radio mapema Jumatano ya leo kwamba alikuwa ana vikao vinne na mchezaji na amemuahidi atabaki.
    On the plane: Wayne Rooney was among the Manchester United party travelling to the Far East
    All smiles: David Moyes prepares to board the plane to Bangkok
    Kwenye ndege: Wayne Rooney (kushoto) na Moyes kulia safarini leo
    Coaching staff: Ryan Giggs and Phil Neville, who will both be on United's staff next season, chat in the terminal
    Makocha: Ryan Giggs na Phil Neville kulia
    Smart: Rio Ferdinand shows Zaha how it's done
    Patrice Evra arrives at the airport
    Watanashati: Rio Ferdinand (kushoto) na Patrice Evra kulia 
    Getting comfortable: (left to right) Fabio da Silva, Alexander Buttner, Danny Welbeck, Phil Jones and Rafael da Silva have a look around the plane as United prepared to depart for Bangkok
    Wako poa: Kutoka kushoto, Fabio da Silva, Alexander Buttner, Danny Welbeck, Phil Jones na Rafael da SilvaFirst class: (left to right) Fabio da Silva, Buttner, Welbeck and Jones take their seats on the plane
    Daraja la kwanza: Kutoka kushoto, Fabio da Silva, Buttner, Welbeck na Jones 

    RATIBA YA ZIARA YA MAN UTD KUJIANDAA NA MSIMU

    Julai 13 na Singha All Star XI (Uwanja wa Rajamangala, Bangkok - Kombe la miaka 80 ya Singha) saa 8:00 mchana
    Julai 20 na kombaini ya A-League (All Stars) (Uwanja wa ANZ, Sydney) saa 4:30 asubuhi
    Julai 23 na Yokohama F-Marinos (Uwanja wa Nissan, Yokohama) saa 5:20 asubuhi
    Julai 26 na Cerezo Osaka (Uwanja wa Osaka Nagai, Osaka) saa 5:01 asubuhi
    Julai 29 na Kitchee (Uwanja wa Hong Kong, Hong Kong) saa 7:00 mchana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ZAHA AGEUKA KITUKO MAN UNITED IKIONDOKA KWENDA MASHARIKI YA MBALI...AVAA OVYO HADI IKABIDI ABADILISHE NGUO UWANJA WA NDEGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top