• HABARI MPYA

    Tuesday, April 15, 2014

    MAN CITY YAFUNIKA KLABU ZOTE DUNIANI KWA KULIPA MISHAHARA MIKUBWA, HAKUNA CHA BARCA WA REAL

    KLABU ya Manchester City ndiyo inayoongoza duniani kwa kulipa mishahara mizuri wachezaji huku kiwango cha malipo ya mwaka kwa kila mchezaji kikiwa ni Pauni Milioni 5.3, au Pauni 102,653 kwa wiki, hiyo ni kwa mujibu wa taarifa mpya ya mlinganisho wa mapato ya klabu kubwa.
    Klabu tano za Ligi Kuu ya England zimeingia kwenye 20 Bora na Liverpool iliyoifunga 3-2 City katika mbio za ubingwa Jumapili- inashika nafasi ya 20, kwa kumlipa kila mchezaji wastani wa Pauni Milioni 3.4 kwa mwaka.
    Manchester United ni ya nane ikilipa Pauni Milioni 4.3 kwa mwaka, Chelsea ya 10 (Pauni Milioni 4) na Arsenal ya 11 (Pauni Milioni 3.9).
    Walipwa vizuri: Manchester City imeongoza kwa kulipa wachezaji mishahara mikubwa duniani, ikikadiriwa kumlipa kila mchezaji wastani wa Pauni Milioni 5.3 kwa mwaka.
    Big spender: City owner Sheik Mansour has invested hundreds of millions into making them title challengers
    Kimwaga noti: Mmiliki wa City, Sheikh Mansour amewekeza mabilioni ya Pauni katika timu hiyo ili iwe mshindani katika ubingwa wa England

    KLABU ZINAZOONGOZA KULIPA MISHAHARA MIZURI WACHEZAJI DUNIANI

    NAFASI (MWAKA JANA)TIMULIGIMAKADIRIO YA MALIPO KWA MWAKA (WIKI)
    1 (1)Manchester CityPremier League£5,337,944 (£102,653)
    2 (5)New York YankeesMLB£5,286,628 (£101,666) 
    3 (2)Los Angeles DodgersMLB£5,119,701 (£98,456) 
    4 (3)Real MadridLa Liga£4,993,393 (£96,027) 
    5 (4)BarcelonaLa Liga£4,901,327 (£94,256)
    6 (16)Brooklyn NetsNBA£4,485,019 (£86,250) 
    7 (9)Bayern MunichBundesliga£4,402,905 (£84,671) 
    8 (12)Manchester UnitedPremier League£4,322,251 (£83,120)
    9 (19)Chicago Bulls NBA£3,985,706 (£76,648) 
    10 (8) ChelseaPremier League £3,984,536 (£76,626)
    11 (15)ArsenalPremier League£3,901,923 (£75,037) 
    12 (20) New York KnicksNBA £3,862,191 (£74,273) 
    13 (14)Detroit TigersMLB£3,833,510 (£73,721) 
    14 (11)Philadelphia Phillies MLB£3,811,638 (£73,301) 
    15 (22)Boston Red SoxMLB £3,763,451 (£72,374)
    16 (17)Miami Heat NBA £3,665,215 (£70,485) 
    17 (23)San Francisco GiantsMLB£3,613,741 (£69,495)
    18 (35)Juventus Serie A£3,512,696 (£67,552) 
    19 (7)LA Lakers NBA £3,411,402 (£65,604)
    20 (21)Liverpool 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAFUNIKA KLABU ZOTE DUNIANI KWA KULIPA MISHAHARA MIKUBWA, HAKUNA CHA BARCA WA REAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top