KOCHA mpya wa Brazil, Carlos Dunga amekibomoa kikosi cha timu hiyo kilichovurunda Kombe la Dunia kwa kuwatema wachezaji 13 na kuita wengine wapya.
Philippe Coutinho ni miongoni mwa ingizo jipya la wachezaji baada ya Kombe la Dunia baada ya Dunga kuvutiwa na kazi yake akiichezea Liverpool, wakati Neymar aliyepona majeruhi yake yaliyomfanya akose mechi mbili za mwisho za Kombe la Dunia ameitwa pia.
Kikois cha wachezaji 22 kimetajwa jana kwa ajili ya mechi mbili za kiradiki dhidi ya Colombia na Ecuador.
0 comments:
Post a Comment