Msafara wa mwisho wa Real Madrid baada ya kuwasili Dar es Salaam jioni ya leo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya magwiji wa Tanzania Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. |
Kesho Taifa patapendeza |
Magwiji wa Real wakisubiri usafiri kuelekea Bahari Beach |
Wanaelekea kwenye basi la Azam FC kwa safari ya hotelini |
Watu walijitokeza kuwapokea |
0 comments:
Post a Comment