• HABARI MPYA

    Friday, October 31, 2014

    KIONGOZI YANGA SC AFANYA 'MAMBO' UWANJA WA KAITABA MCHANA KWEUPEEE

    Wakandarasi; Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga SC, Mohammed Bhinda akisawazisha udongo kwenye Uwanja wa Kaitaba leo baada ya kuchimbua na kuurudhishia. Yanga SC itacheza na wenyeji Kagera Sugar kesho kwenye Uwanja huo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIONGOZI YANGA SC AFANYA 'MAMBO' UWANJA WA KAITABA MCHANA KWEUPEEE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top