• HABARI MPYA

    Thursday, November 27, 2014

    ANDY MURRAY AMPOSA MCHUCHU KWA FURAHA YA USHINDI

    MCHEZAJI bora nambari moja wa tenisi Uingereza na bingwa wa Wimbledon, Andy Murray amemvisha pete ya ucuhumba mpenzi wake, Kim Sears, waliyedumu naye kwa miaka zaidi ya tisa.
    Wawakilishi wa Murray wamethibitisha uchumba huo wa kiajan huyo mwenye umri wa miaka 27, Murray na Sears, mwenye umri wa miaka 26, lakini hawakutoa taarifa zaidi.
    Kimwana huyo, Miss Sears, ambaye Sahada, alikutana na Murray katika michuano ya US Open mwaka 2005.
    Andy Murray poses with the Wimbledon trophy along with his fiancee Kim Sears
    Andy Murray akiwa na mkewe mtarajiwa Kim Sears
    Teenage Murray, right, kisses Kim Sears after beating Australia's Lleyton Hewitt in the final match at the SAP Open in 2006
    Kinda Murray, kulia, akimbusu Kim Sears baada ya michuano ya SAP Open mwaka 2006

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/tennis/article-2850786/Andy-Murray-engaged-Wimbledon-champion-pops-question-long-term-girlfriend-Kim-Sears.html#ixzz3KDeoAL7C 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ANDY MURRAY AMPOSA MCHUCHU KWA FURAHA YA USHINDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top