• HABARI MPYA

    Saturday, December 13, 2014

    PATI LA USHINDI WA MTANI JEMBE SIMBA SC LEO

    Wachezaji wa Simba SC wakisherehekea na Kombe lao la Nani Mtani Jembe walilolitwaa leo kwa mara ya pili mfululizo, baada ya kuifunga Yanga SC mabao 2-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
    Kiboko ya Yanga SC, wachezaji wa SImba SC wakifurahia na Kombe lao la ushindi wa mechi moja
    Nahodha wa Simba SC leo, Emmanuel Okwi akiinua Kombe la Nani Mtani Jembe baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi, Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara
    Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara akimkabidi mfano wa hundi Nahodha wa Simba SC, Emmanuel Okwi
    Rais wa TFF, Jamal Malinzi akimkabidhi mfano wa Nahodha wa Yanga SC, Haruna Niyonzima kulia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PATI LA USHINDI WA MTANI JEMBE SIMBA SC LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top