• HABARI MPYA

    Thursday, February 26, 2015

    YANGA SC WALIVYOUJARIBU UWANJA AMBAO KESHO WATAWANIA TIKETI YA KUSONGA MBELE AFRIKA

    Wachezaji wa Yanga SC wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Lobatse nchini Botswana jioni ya leo ambao utatumika kwa ajili ya mechi ya kesho ya marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho la Afrika (CAF) dhidi ya wenyeji BDF XI. Yanga SC ilishinda 2-0 katika mchezo wa kwanza wiki iliyopita Dar es Salaam na kesho itahitaji hata sare kusonga mbele.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC WALIVYOUJARIBU UWANJA AMBAO KESHO WATAWANIA TIKETI YA KUSONGA MBELE AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top