• HABARI MPYA

    Sunday, March 01, 2015

    SIMBA SC ILIPOWEKA REKODI YA USHINDI MKUBWA ZAIDI MSIMU HUU LIGI KUU JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi (kulia) akimtoka beki wa Prisons, James Mwasote katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 5-0  

    Mshambuliaji wa Simba SC, Dan Sserunkuma akimtoka beki wa Prisons, Nurdin Chona

    Beki na Nahodha wa Prisons, Laurian Mpalile akimdhibiti winga wa Simba SC, Ramadhani Singano 'Messi' kushoto 

    Beki wa Prisons, Nurdin Chona akimpunguza kasi mshambuliaji wa Simba SC, Hajibu Salum (mbele)

    Kiungo wa Simba SC, Said Ndemla akimhadaa kiungo wa Prisons, Freddy Chudu

    Beki wa Simba SC, MOhammed Hussein 'Tshabalala' (kushoto) akimtoka mchezaji wa Prisons

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC ILIPOWEKA REKODI YA USHINDI MKUBWA ZAIDI MSIMU HUU LIGI KUU JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top