Bondia James DeGale akiwa amemkandamiza konde mpinzani wake, Andre Dirrell katika pambano la ubingwa wa dunia wa IBF uzito wa Super-Middle usiku wa jana mjini Boston, Uingereza. Muingereza DeGale mwenye umri wa miaka 29, ameshinda kwa pointi za majaji wote watatu, Mcanada Alan Davis akitoa 117-109, Muingereza Howard Foster na Mcanada mwingine, Dan Fitzgerald wakitoa 114-112 katika pambano hilo ambalo DeGale alimuangusha chini mara mbili Mmarekani Dirrell. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville reveals why he WON'T be at Nottingham Forest's clash with Man
City this weekend amid Sky row, as he accuses Mark Clattenburg of acting
'like a Navy Seal' and giving the team an excuse NOT to win
-
Gary Neville (right) has revealed he will not be covering Nottingham Forest
's Premier League clash with title-chasing Man City on Sunday amid the
club's r...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment