Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kushoto) akiwa na viongozi na wachezaji wa Yanga SC Uwanja wa Ndege wa Dubai usiku huu. Rais Kikwete alikuwa anasubiri kuunganisha ndege kwenda Marekani, wakati Yanga SC walikuwa wanarejea nyumbani wakitokea Tunisa ambako jana walicheza na Etoile du Sahel ya huko na kufungwa bao 1-0 katika hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika, hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 2-1, baada ya awali kulazimishwa sare ya 1-1 Dar es Salaam. |
0 comments:
Post a Comment