Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Brom leo Uwanja wa Emirates katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na kiungo Jack Wilshere, wakati la kufutia machozi la West Brom lilifungwa na beki, Gareth McAuley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Tuchel issues a come-and-get-me plea to Man United as he says it's
'no secret I loved it at Chelsea and in the Premier League' - admitting
it's 'very unlikely' he'll be at Bayern Munich next season
-
Tuchel, who was dismissed in February but has continued on at the Allianz
to finish the 2023-24 term, is one of a number of names understood to be in
conte...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment