• HABARI MPYA

    Wednesday, September 05, 2012

    DEL PIERO ATUA RASMI AUSTRALIA


    Alessandro Del Piero amekamilisha uhamisho wake kwenda Sydney FC ya Australia, licha ya awali kuwepo tetesi angetua Liverpool.
    Mshambuliaji huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 37 aliyewika Juventus amethibitisha uhamisho huo leo mjini Turin katika Mkutano na Waandishi wa Habari.
    "Nina furaha kusaini Sydney na kwa miaka miwili ijayo nitacheza nao," aliwaambia Waandishi wa Habari Del Piero leo.
    Aussie rules: Alessandro Del Piero has signed a two-year deal with Sydney FC
    Del Piero akikabidhiwa jezi namba 10 ya Sydney FC

    Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2198610/Alessandro-del-Piero-signs-Sydney-FC-Liverpool-snubbed-again.html#ixzz25c6fXwWe
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DEL PIERO ATUA RASMI AUSTRALIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top