• HABARI MPYA

    Wednesday, September 05, 2012

    MAN UNITED YASAJILI MPACHIKA MABAO TISHIO KUTOKA CHILE


    Manchester United hatimaye imethibitisha kusajili kinda la umri wa miaka 18, Angelo Henriquez. Mshambuliaji huyo wa Chile alifanyiwa vipimo vya afya katika klabu hiyo mwezi uliopita, kwa ajili ya uhamisho wa pauni Milioni 4, lakini usajili wake ulichelewa kuthibitishwa.
    Nyota huyo wa Amerika Kusini anatua Old Trafford kutoka klabu ya Universidad ya Chile, ambako alifunga mabao 11 katika mechi 17 mwaka 2012 na kuisaidia timu yake kutwaa ubingwa wa taifa lake.
    United he stands: Angelo Henriquez has officially been unveiled by Manchester United in a £4m deal
    Angelo Henriquez akikabidhiwa jezi ya Manchester United 
    United he stands: Angelo Henriquez has officially been unveiled by Manchester United in a £4m deal
    Angelo Henriquez rasmi ametua Manchester United kwa pauni Milioni 4
    Watching brief: Henriquez has been around the club for the best part of a month
    Henriquez amekuwa na klabu hiyo tangu mwezi wote uliopita

    Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2198679/Manchester-United-confirm-Angelo-Henriquez-signing.html#ixzz25c1dexKA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YASAJILI MPACHIKA MABAO TISHIO KUTOKA CHILE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top