ARSENAL imepata kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Swansea City Uwanja wa Liberty usiku huu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.
Alexis Sanchez aliifungia Arsenal bao la kuongoza dakika ya 63 akimalizia krosi ya Danny Welbeck, kabla ya Gylfi Sigurdsson kuwasawazishia wenyeji kwa shuti la mpira wa adhabu kutoka umbali wa mita 30 dakika ya 75.
Bafetimbi Gomis alirokwa benchi na kuingia uwanjani kuifungia Swansea bao la ushidi dakika ya 78.
Kikosi cha Swansea kilikuwa: Fabianski, Rangel, Bartley, Williams, Taylor, Ki, Carroll/Britton dk87, Emnes/Barrow dk67, Sigurdsson, Montero na Bony/Gomis dk76.
Arsenal: Szczesny, Chambers/Sanogo dk90, Mertesacker, Monreal, Gibbs, Ramsey (Walcott 79), Flamini/Wilshere dk80, Oxlade-Chamberlain, Sanchez, Cazorla na Welbeck.
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2827375/Swansea-2-1-Arsenal-Bafetimbi-Gomis-heads-dramatic-winner-two-minutes-coming-complete-turnaround-hosts.html#ixzz3Ib1LkXLE
0 comments:
Post a Comment