Nyota wa Leicester City, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Leicester City dakika ya 11 ikishinda 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kuzidi kupaa kileleni kwa kufikisha pointi 60, tano zaidi ya Tottenham Hotspur wanaoshika nafasi ya pili baada ya timu zote kucheza mechi 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Memphis guard Sincere Parker arrested after allegedly choking his
girlfriend during attack
-
The woman also told police that Parker broke her cellphone because he
didn't want her to have the digital key to the apartment.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment