![]() |
Mashabiki wa Juve |
VINARA wa Serie A, Juventus wamepigwa
faini ya Euro fined 30 000 na onyo kali baada ya mashabiki wake kukutwa na
hatia ya kufanya vitendo vya kibaguzi juzi wakishinda 2-1 nyumbani dhidi ya
Lazio.
Zomea ya kejeli za kibaguzi
ilisikika sehemu tano katika mechi hiyo, lakini klabu hiyo na mashabiki wengine
walijaribu kuzima hali hiyo, Serie A imesema katika taarifa yake.
Juve ililazimika kucheza milango
ya Uwanja wake imefungwa miaka mitatu iliyopita baada ya kumfanyia kejeli za
kibaguzi, mshambujliaji wa Inter Milan wakati huo, Mario Balotelli.
0 comments:
Post a Comment