• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Saturday, April 20, 2024
    Friday, April 19, 2024
    WASHINDI 56 MTOKO WA KIBINGWA BETIKA KUSHUHUDIA DERBY KWA MKAPA KESHO

    WASHINDI 56 MTOKO WA KIBINGWA BETIKA KUSHUHUDIA DERBY KWA MKAPA KESHO

    WASHINDI 56 Promosheni ya Mtoko wa Kibingwa msimu wa 07 kuitazama Derby ya Kariakoo kati Simba na Yanga itakayofanyika kesho kwenye uwanja w...
    BENCHIKA AMUACHIA MATOLA MKUTANO NA GAMONDI KABLA YA MECHI YA WATANI KESHO

    BENCHIKA AMUACHIA MATOLA MKUTANO NA GAMONDI KABLA YA MECHI YA WATANI KESHO

    KOCHA Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchika amewakilishwa na Msaidizi wake, Suleiman Matola kwenye mkutano na Waandishi wa Habari, wakati Koc...
    Thursday, April 18, 2024
    NI ARAJIGA TENA REFA WA SIMBA NA YANGA KESHOKUTWA

    NI ARAJIGA TENA REFA WA SIMBA NA YANGA KESHOKUTWA

    REFA Ahmed Arajiga kwa mara ya pili mfululizo amepewa dhamana ya kuchezesha mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga ya Ligi Kuu ya NBC Tanza...
    IHEFU NA SINGIDA FOUNTAIN GATE ZATOSHANA NGUVU, 1-1 LITI

    IHEFU NA SINGIDA FOUNTAIN GATE ZATOSHANA NGUVU, 1-1 LITI

    TIMU ya Ihefu SC imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja ...
    Wednesday, April 17, 2024
    AZAM FC YABANWA MBAVU NA MASHUJAA CHAMAZI, NGOMA DROO 0-0

    AZAM FC YABANWA MBAVU NA MASHUJAA CHAMAZI, NGOMA DROO 0-0

    WENYEJI, Azam FC wamelazimishwa sare ya bila mabao na Mashujaa katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Compl...
    KABUNDA AFUNGA BAO PEKEE NAMUNGO YAICHAPA COASTAL 1-0

    KABUNDA AFUNGA BAO PEKEE NAMUNGO YAICHAPA COASTAL 1-0

    BAO pekee la kiungo Hassan Salum Kabunda dakika ya nane limeipa Namungo FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Unión katika mchezo wa Ligi Kuu y...
    KAGERA SUGAR YAIKANDA TABORA UNITED 3-0 PALE PALE MWINYI

    KAGERA SUGAR YAIKANDA TABORA UNITED 3-0 PALE PALE MWINYI

    TIMU ya Kagera Sugar imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwa...
    GEITA GOLD YATOKA SULUHU NA TANZANIA PRISONS NYANKUMBU

    GEITA GOLD YATOKA SULUHU NA TANZANIA PRISONS NYANKUMBU

    WENYEJI, Geita Gold leo wamelazimishwa sare ya bila mabao na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania leo Uwanja wa sekond...
    Tuesday, April 16, 2024
    DODOMA JIJI YATOA SULUHU NA JKT TANZANIA LEO JAMHURI

    DODOMA JIJI YATOA SULUHU NA JKT TANZANIA LEO JAMHURI

    WENYEJI, Dodoma Jiji FC wamelazimishwa sare ya mabao na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri Ji...
    KMC YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1-0 PALE PALE MANUNGU KAZI YA SALIBOKO

    KMC YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1-0 PALE PALE MANUNGU KAZI YA SALIBOKO

    BAO pekee la Daruwesh Saliboko dakika ya 54 limeipa KMC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Manungu Complex, Turiani...
    Monday, April 15, 2024
    Sunday, April 14, 2024
    AZAM FC YAWACHAPA NAMUNGO FC 2-0 PALE PALE RUANGWA

    AZAM FC YAWACHAPA NAMUNGO FC 2-0 PALE PALE RUANGWA

    TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa M...
    GUEDE APIGA MBILI, KI MOJA YANGA YASHINDA 3-0 KIRUMBA

    GUEDE APIGA MBILI, KI MOJA YANGA YASHINDA 3-0 KIRUMBA

    MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanza...
    KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE KABLA YA KUIVAA YANGA

    KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE KABLA YA KUIVAA YANGA

    KIPA Beno Kakolanya anadaiwa kutoroka kambini katika klabu yake, Singida Fountain Gate muda mfupi kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzani...
    Saturday, April 13, 2024
    KAGERA SUGAR YAAMBULIA SARE KWA DODOMA JIJI, 1-1 KAITABA

    KAGERA SUGAR YAAMBULIA SARE KWA DODOMA JIJI, 1-1 KAITABA

    WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja w...
    KEN GOLD NA PAMBA ZABISHA HODI LIGI KUU BAADA YA USHINDI LEO

    KEN GOLD NA PAMBA ZABISHA HODI LIGI KUU BAADA YA USHINDI LEO

    WENYEJI, Pamba FC wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate Talents katika mchezo wa Ligi ya NBC Championship jioni ya leo Uwan...
    CHAMA AINUSURU SIMBA KUPIGWA NA IHEFU SINGIDA, DROO 1-1

    CHAMA AINUSURU SIMBA KUPIGWA NA IHEFU SINGIDA, DROO 1-1

    VIGOGO, Simba SC wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Ihefu katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI mjini Si...
    JKT TANZANIA YACHOMOA DAKIKA YA MWISHO 1-1 NA TABORA UNITED

    JKT TANZANIA YACHOMOA DAKIKA YA MWISHO 1-1 NA TABORA UNITED

    WENYEJI, Tabora United wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa...
    GEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA MTIBWA SUGAR NYANKUMBU

    GEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA MTIBWA SUGAR NYANKUMBU

    WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa ...
    Friday, April 12, 2024
    COASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA 2-1 PALE PALE KIGOMA

    COASTAL UNION YAICHAPA MASHUJAA 2-1 PALE PALE KIGOMA

    TIMU ya Coastal Unión imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwan...
    PRISONS NA KMC HAKUNA MBABE, 1-1 SOKOINE

    PRISONS NA KMC HAKUNA MBABE, 1-1 SOKOINE

    WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoi...
    AZAM FC WAWASILI RUANGWA TAYARI KUIKABILI NAMUNGO FC KESHO

    AZAM FC WAWASILI RUANGWA TAYARI KUIKABILI NAMUNGO FC KESHO

    WACHEZAJI wa Azam FC baada ya kuwasili mjini Ruangwa mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Nam...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top