// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ZUNGU JIPYA LASAINI MWAKA MMOJA YANGA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ZUNGU JIPYA LASAINI MWAKA MMOJA YANGA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, September 29, 2012

        ZUNGU JIPYA LASAINI MWAKA MMOJA YANGA


        Kocha mpya wa Yanga, Ernstus ‘Ernie’ Wilhelmus Johannes Brandts, amesaini mkataba wa mwaka mmoja na klabu hiyo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano uliofanyika makao makuu ya klabu, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam. Upande wa Yanga, uliwakilishwa na Makamu Mwenyekiti wa klabu, Clement Sanga ambaye alishuhudiwa na viongozi wengine wa klabu hiyo, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Mussa Katabaro, Katibu Mkuu, Lawrence Mwalusako na Majjid Suleiman, mmoja wa watu muhimu kwenye klabu hiyo. Habari inakuja...
        Brandts kulia na Sanga kushoto

        Anamwaga wino

        Brandts kulia na Sanga kushoto

        Brandts na Sanga

        Brandts na Sanga

        Brandts na Sanga

        Brandts na Sanga

        Mkutano

        Mwalusako akimshuhudia Sanga

        Dina Ismail na Vicky Kimaro kazini

        Brandts akifafanua jambo, kulia ni Majjid

        Katabaro na Mwalusako

        Makuburi Ally, pembezi ni wazee wa Yanga wakipiga chabo

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: ZUNGU JIPYA LASAINI MWAKA MMOJA YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry