• HABARI MPYA

    Saturday, April 14, 2012

    WAISLAMU WAMVUA HIJAB LULU

    Lulu
    SIKU chache baada ya kufikishwa mahakamani kwa msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu' kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha msanii mwenzake Steven Kanumba, waislamu wamelaani msanii huyo kutoka mahakamani akiwa amevalia vazi la Hijab.
    Kwa mujibu wa mamapipiro blogspot, tamko hilo lililotolewa jana katika msikiti wa Ngazija jijini Dar es Salaam wakati wa Swala ya Ijumaa ambapo waumini hao walidai kuwa msanii huyo anaudhalilisha uislamu.
    Walisema hawakupendezwa na kitendo hicho na kama atapandishwa tena mahakamani katika mavazi hayo wataandamana.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAISLAMU WAMVUA HIJAB LULU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top