![]() |
| Mrisho Ngassa akishangilia kwa staili ya aina yake, baada ya kufunga bao la kwanza |
![]() |
| Ramadhan Singano 'Messi' wa Simba SC, akimiliki mpira pembeni ya beki wa Coastal Union, Mbwana Hamisi |
![]() |
| Philip Mugenzi wa Coastal Union akimdhibiti Rashid Ismail wa Simba SC |
![]() |
| Haruna Chanongo wa Simba SC akimtoka beki wa Coastal Union, Hamad Hamisi |
![]() |
| Kipa wa Coastal Union, Shaaban Kado akidaka mpira wa juu |
![]() |
| Amri Kiemba wa Simba SC akipasua katikati ya wachezaji wa Coastal Union |
![]() |
| Salim Kinje wa Simba SC kulia, akijaribu kumpokonya mpira mchezaji wa Coastal Union, Mohamed Athumani |
![]() |
| Kipa wa Simba, Abbel Dhaira akidaka mpira wa juu |
![]() |
| Beki wa Simba SC, Miraj Adam kulia akitibiwa na Daktari wa timu yake baada ya kuumia katika moja ya hekaheka za mchezo huo |
![]() |
| Ukisikia patashika ndio hii, Amri Kiemba wa Simba SC kushoto ameanguka chini jirani na mpira na Hamad Hamisi wa Coastal Union pia naye kaanguka. Juu ni Mrisho Ngassa wa Simba akiupigia hesabu mpira |
![]() |
| Kipa wa Coastal Union,Shaaban Kado amedaka mpira mwili mwa Mrisho Ngassa wa Simba SC aliyeangukia kushoto. Kulia ni beki wake Mbwana Hamisi akiwa tayari kutoa msaada. |
![]() |
| Kikosi cha Simba SC leo |
![]() |
| Kikosi cha Coastal Union leo |
![]() |
| Beki wa Simba SC, Shomary Kapombe akijipoza na baradu baada ya kuumia |
![]() |
| Muda wa shangwe; Wachezaji wa Simba SC wakishangilia bao la pili lililofungwa na Haruna Chanongo |
![]() |
| Haruna Chanongo wa Simba SC akienda chini baada ya kukwatuliwa na Philip Mugenzi wa Coastal Union |
![]() |
| Haruna Chanongo akipambana... |
![]() |
| Haruna Chanongo wa Simba SC akifumua shuti mbele ya Hamad Hamisi wa Coastal Union |
![]() |
| Haruna Chanongo akikosa bao la wazi, baada ya kuwatoka mabeki wa Coastal na kumzidi maarifa kipa Shaaban Kado, lakini mpira ulienda nje |
![]() |
| Mrisho Ngassa akiwatoka mabeki wa Coastal... |
![]() |
| Mrisho Ngassa akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa Coastal, Razack Khalfan |
![]() |
| Haruna Chanongo akimiliki mpira kwa uhodari wa hali ya juu, zamani ilikuwa ikiitwa kapiga kizungu. kushoto ni beki wa Coastal, Hamad Hamisi |

























.png)