• HABARI MPYA

    Saturday, March 09, 2013

    YANGA KATILI ILIVYOUA TOTO LAKE LEO TAIFA BILA KULITAZAMA USONI

    Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Simon Msuva akumtoka beki wa Toto Africans ya Mwanza, Robert Magadula katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0.

    Mohamed Jingo wa Toto Africans kulia akitafuta mbinu za kumtoka kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima

    Beki Everist Maganga wa Toto Africans aliyelala chini kuondosha mpira miguu mwa mshambuliaji wa Yanga SC, Didier Kavumbangu

    Hatari kwenye lango la Toto...Hamisi Kiiza amepiga kichwa mbele ya kipa wa Toto Africans, Eric Ngwengwe...

    Beki anayechezeshwa kama kiungo mshambuliaji Yanga, David Luhende akienda chini baada ya kuangushwa na Eric Mulilo wa Toto Africans kulia...

    Everist Maganga wa Toto kulia akimdhibiti Jerry Tegete wa Yanga

    Everist Maganga akiondoka na mpira mbele ya Haruna Niyonzima...

    Haruna Niyonzima akitafuta mbonu za kuwatoka wachezaji wa Toto kwenye mstari wa kuugawa Uwanja

    Niyonzima akinyoosha mkono juu, baada ya wachezaji wa Toto kuuchukulia mpira nje na kuendelea kucheza

    Kikosi cha Toto Africans ya Mwanza kilicholala 1-0 leo mbele ya Yanga

    Kikosi cha Yanga SC leo

    Haruna Niyonzima kushoto akitafuta mbinu za kumtoka Eric Kyaruzi wa Toto

    Mshindi wa mechi; Nizar Khalfan akijifuta jasho baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi leo

    Haruna Niyonzima akipambana na Eric Mulilo...

    Niyonzima na Mulilo...

    Hamisi Kiiza akimtoka Eric Kyaruzi...

    Nizar Khalfan anaondoka na mpira, Didier Kavumbangu anafungua kushoto..

    Nizar Khalfan anafumua shuti, huku Everist Maganga akijaribu kuzuia shuti hilo

    Everist Maganga akiwa amemvaa Simon Msuva kuondosha mpira kwenye miguu yake

    Everist Maganga akiupitia mpira miguuni mwa Frank Domayo

    Haruna Niyonzima akimtoka Emmanuel Swita...

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: YANGA KATILI ILIVYOUA TOTO LAKE LEO TAIFA BILA KULITAZAMA USONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top