Kifo cha kiungo mkabaji wa timu ya Simba, Patrick Mafisango, kilichotokea leo alfajiri maeneo ya Veta-Chang’ombe jijini Dar es Salaam baada ya kupata ajali ya gari, kimewahuzunisha watu wengi ambao walikusanyika nyumbani kwa mchezaji mwenzake, Emannuel Okwi, maeneo ya Bora-Keko ambako taratibu za msiba zinafanyika huku wakilia kama watoto.
Aussie Olympian slams coverage of Swiss women's team's loss to 14-year-old
boys ahead of Euros
-
Aussie Olympic star Chloe Dalton wasn't happy with media coverage of the
Swiss women's recent loss to an under 15s boys side that made international
headli...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment