Fergi na Owen |
Sir Alex Ferguson amempa mkono wa kwaheri mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa England, Michael Owen, ambaye anaondoka Manchester United.
Kocha huyo amemuambia namba saba wake huyo kwamba hatapewa mkataba mpya wakati wawili hao walipokuwa Belfast kwa mechi maalum ya hisani ya Harry Gregg usiku wa Jumanne, Owen akicheza kwa dakika 60, United ikishinda 4-1 kabla ya nafasi yake kuchukuliwa na Wayne Rooney.
0 comments:
Post a Comment