KIUNGO Fabrice Muamba ameambiwa anahitaji upasuaji zaidi wa moyo, kama anataka matumaini ya kucheza tena soka.
Kiungo huyo wa Bolton yupo Ubelgiji kwa mtaalmu wa tiba za moyo, miezi mitano baada ya 'kufariki dunia kwa dakika 78' kwenye Uwanja wa White Hart Lane katika mechi ya Kombe la FA dhidi ya Spurs.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24, amemtembelea mtaalamu Pedro Brugada kwa matumaini ya kutimiza ndoto zake za kurejea uwanjani siku moja kucheza tena soka.
Fabrice Muamba
0 comments:
Post a Comment