• HABARI MPYA

    Thursday, August 09, 2012

    MUAMBA ANAHITAJI UPASUAJI ZAIDI WA MOYO KUPATA MATUMANI YA KUCHEZA TENA


    KIUNGO Fabrice Muamba ameambiwa anahitaji upasuaji zaidi wa moyo, kama anataka matumaini ya kucheza tena soka. 
    Kiungo huyo wa Bolton yupo Ubelgiji kwa mtaalmu wa tiba za moyo, miezi mitano baada ya 'kufariki dunia kwa dakika 78' kwenye Uwanja wa White Hart Lane katika mechi ya Kombe la FA dhidi ya Spurs. 
    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24, amemtembelea mtaalamu Pedro Brugada kwa matumaini ya kutimiza ndoto zake za kurejea uwanjani siku moja kucheza tena soka. 
    Hoping for more: Fabrice Muamba is desperate to resume his playing career
    Fabrice Muamba 

    Recovery: Muamba 'died' for 78 minutes during an FA Cup match at Spurs
    Muamba alipofariki kwa dakika 78



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MUAMBA ANAHITAJI UPASUAJI ZAIDI WA MOYO KUPATA MATUMANI YA KUCHEZA TENA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top