• HABARI MPYA

    Tuesday, September 04, 2012

    ARSENAL YATAMKA WAZI; MAN CITY, MAN UNITED, CHELSEA HATUWAWEZI


    Mwenyekiti wa Arsenal, Peter Hill-Wood amesema klabu yake haiwezi kushindana sokoni na wapinzani wao wakubwa katika Top Four ya Ligi Kuu ya England kwa sababu wanatumia fedha nyingi.
    Lakini Hill-Wood anajiamini The Gunners watashinda taji moja muhimu msimu huu na amesema hawana wasiwasi wowote kwa Arsene Wenger kutoshinda taji lolote ndani ya miaka saba.
    Mwenyekiti huyo wa Arsenal, alisema; "Arsene ana fedha za kutumia, lakini zina kiwango. Hatuwezi kutumia pauni Milioni 50 kwa mchezaji mmoja,"alisema.
    Off and running: Arsenal beat Liverpool to earn their first three points
    Arsenal iliifunga Liverpool mwishoni mwa wiki na kuingiza pointi tatu za kwanza
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YATAMKA WAZI; MAN CITY, MAN UNITED, CHELSEA HATUWAWEZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top