Simba imepigwa mabao 3-1 na Azam FC leo katika Robo Fainali
ya mwisho ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam- lakini unaweza kustaajabu kipigo hicho mashabiki wa Simba
walitabiri kuwapa Azam, ila ajabu kimewageukia wao. Tazama picha hizi za mashabiki
wa Simba na Azam wakitambiana, nani kainua vidole vitatu juu?
Jose Mourinho 'agrees two-year deal' to join Benfica as manager
-
Jose Mourinho has reportedly agreed a two-year deal to become Benfica
manager, 25 years after his first spell at the club.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment