Simba imepigwa mabao 3-1 na Azam FC leo katika Robo Fainali
ya mwisho ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam- lakini unaweza kustaajabu kipigo hicho mashabiki wa Simba
walitabiri kuwapa Azam, ila ajabu kimewageukia wao. Tazama picha hizi za mashabiki
wa Simba na Azam wakitambiana, nani kainua vidole vitatu juu?
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
13 minutes ago





.png)
0 comments:
Post a Comment