![]() |
| Seif Abdallah juu kabisa aliyepiga kichwa mpira (haupo pichani), chini yake Himid Mao na kushoto John Bocco 'Adebayor' katika mazoezi ya Azam viwanja vya Gymkhana leo asubuhi |
![]() |
| Beki David Mwantika akimiliki mpira mbele ya kiungo Abdulhalim Humud 'Gaucho' |
![]() |
| Kipre Tchetche kulia akizungumza na Brian Umony kushoto |
![]() |
| Khamis Mcha 'Vialli' kushoto akitafuta mbinu za kumtoka Omar Mtaki kulia |
![]() |
| Kocha Muingereza, Stewart Hall kushoto akitoa maelekezo kwa vijana wake wakati wa mazoezi |
![]() |
| Hapa ni wakati wa mazoezi ya nguvu, ambayo huongozwa na Ibrahim Shikanda |
![]() |
| Jabir Aziz Stima akinyoosha mgongo kwa kulalia mpira |
![]() |
| Mchezaji mwenye mashuti makali, Abdi Kassim 'Babbi' akinyoosha viungo |
![]() |
| John Bocco 'Adebayor' akinyoosha viungo |
![]() |
| Kipre Tchetche akinyoosha viungo |
![]() |
| Beki Joackins Atudo akinyoosha viungo |














.png)