• HABARI MPYA

    Tuesday, March 12, 2013

    JACK WILSHERE KUWAKOSA BAYERN KESHO, HATARINI KUKOSA MECHI ZAIDI HADI ZA KOMBE LA DUNIA


    KIUNGO Jack Wilshere anaweza kuzikosa mechi ngumu za England kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia dhidi ya San Marino na Montenegro.
    Kiungo huyo tegemeo wa Arsenal, ataikosa pia mechi ya kesho ya Ligi ya Mabingwa Ulaya timu yake ikienda Ujerumani kumenyana na Bayern Munich, kutokana na kuchelewa kupona maumivu ya kifundo cha mguu aliyoyapata wakati wakilala 2-1 mbele ya Spurs siku tisa zilizopita.
    Hatakuwamo katika kikosi kinachosafiri kwenda Bavaria leo na hatarajiwi kupona hadi kufika Jumamosi katika mechi nyingine na Swansea.
    Injury doubt: Jack Wilshere is in a race to be fit for England's trips to San Marino and Montenegro
    Jack Wilshere anapambana kuwa fiti kwa ajili ya kuichezea England dhidi ya San Marino na Montenegro
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: JACK WILSHERE KUWAKOSA BAYERN KESHO, HATARINI KUKOSA MECHI ZAIDI HADI ZA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top