• HABARI MPYA

    Friday, March 15, 2013

    TORRES AIVUSHA NANE BORA ULAYA CHELSEA KWA BAO LA MWISHO


    MSHAMBULIAJI Fernando Torres jana alizinduka na akafunga bao katika ushindi wa 3-1 kwa Chelsea dhidi ya Steaua Bucharest na kuwawezesha The Blues kutinga Robo Fainali ya Europa League.

    VIKOSI...

    Chelsea: Cech, Azpilicueta, Terry, Luiz, Cole, Ramires, Mikel, Hazard, Mata, Oscar, Torres. 
    Benchi: Turnbull, Lampard, Moses, Ferreira, Cahill, Benayoun, Bertrand.
    Kadi za njano: Cole, Mikel.
    Wafungaji wa mabao: Mata dk33, Terry dk58, Torres dk71.

    Steaua Bucharest: Tatarusanu, Rapa, Szukala, Chiriches, Latovlevici, Bourceanu, Pintilii, Popa, Chipciu, Tanase, Rusescu. 
    Benchi: Stanca, Gardos, Filip, Prepelita, Tatu, Iancu, Adi.
    Kadi za njano: Rapa, Bourceanu.
    Mfungaji wa bao: Chiriches 45.
    Refa: Stephane Lannoy (France)
    Mahudhurio: 28,817.

    Road to redemption: Torres celebrates putting Chelsea 3-1 ahead on the night
    Torres akishangilia baada ya kuifungia Chelsea katika ushindi wa 3-1 jana usiku
    Bloodied:Torres complains to referee Stephane Lannoy after being caught in the face by Lukasz Szukala
    Torres akilalamika kwa refa Stephane Lannoy baada ya kujeruhiwa katika mchezo huo na Lukasz Szukala


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TORRES AIVUSHA NANE BORA ULAYA CHELSEA KWA BAO LA MWISHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top