• HABARI MPYA

    Saturday, March 16, 2013

    YANGA ILIVYOJISOGEZA JIRANI UBINGWA LIGI KUU LEO KWA KUIADHIBU RUVU SHOOTING TAIFA

    Wachezaji wa Yanga wakishangilia ushindi wao wa 1-0 uliotokana na bao pekee la Hamisi Kiiza 'Diego' katika mchezo wa Ligi Kuu ya Voedacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani.

    Kiungo wa Yanga, Nizar Khalfan kulia akimtoka beki wa Ruvu Shooting, Gideon Tepo

    Kipa wa Ruvu Shooting, Benja Haule aliyeruka juu kupangua mpira wa kona mbele ya Nizar Khalfan

    Hamisi Kiiza wa Yanga kulia akimtoka Michael Aidan wa Ruvu

    Hatari kwenye lango la Ruvu; Kipa Benja Haule ameruka lakini mpira umempita, ila beki wa Yanga Nadir Haroub 'Cannavaro' akashindwa kuunganisha nyavuni

    Nizar Khalfan wa Yanga kulia akimgeuza beki wa Ruvu Shooting Gideon Tepo

    11 wa kwanza walioanza Yanga leo

    Haruna Niyonzima wa Yanga akijiandaa kupiga kona

    11 wa kwanza walioanza Ruvu Shooting leo

    David Luhende wa Yanga akipasua katikati ya mabeki wa Ruvu Shooting

    Kipa Benja Haule wa Ruvu, akiwa amechuchumaa kwa machungu baada ya kufungwa na Hamisi Kiiza. Benja amefanya kazi nzuri sana leo ya kuokoa

    Watoto wa Kagame; Wachezaji wa kimataifa wa Rwanda, beki Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima kushoto wakijadiliana jambo wakati wakiingia uwanjani tayari kumenyana na Ruvu. Wote wamecheza vizuri leo 

    Benja Haule amedaka dhidi ya Nizar Khalfan

    Simon Msuva wa Yanga akikabiliana na mabeki wa Ruvu Shooting

    Beki wa Ruvu, Ibrahim Shaaban akipambana na kiungo wa Yanga, Nizar Khalfan aliyeanguka chini kushoto

    Hamisi Kiiza akipiga shuti pembeni yake beki wa Ruvu, Mangasini Mbonosi

    Hamisi Kiiza akimtoka beki wa Ruvu

    Simon Msuva akikabiliana na mabeki wa Ruvu

    Hamisi Kiiza akimtoka beki wa Ruvu

    Simon Msuva anatuliza mpira gambani pembeni ya beki wa Ruvu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: YANGA ILIVYOJISOGEZA JIRANI UBINGWA LIGI KUU LEO KWA KUIADHIBU RUVU SHOOTING TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top