• HABARI MPYA

    Tuesday, June 11, 2013

    KAKA YAKE KIEMBA ALIVYOZOA NOTI KWENYE 'KIROBA' SIMBA SC LEO

    IMEWEKWA JUNI 11, 2013 SAA 1:45 USIKU

    Kaka yake Amri Kiemba akisaini kuchukua fedha za mdogo wake, baada ya kiungo huyo kusaini Mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuichezea Simba SC mchana wa leo. Wengine pichani ni Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Joseph Itang'are 'Kinesi' na Damian Manembe kulia wakati kushoto ni Salum Pamba, Wajumbe wa Kamati ya Utendaji.

    Mamilioni ya bwana mdogo yafike salama

    Sura ya fedha; Amri Kiemba akiwa Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja

    Mafungu matano KIROBA wapi?.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: KAKA YAKE KIEMBA ALIVYOZOA NOTI KWENYE 'KIROBA' SIMBA SC LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top