• HABARI MPYA

    Monday, June 10, 2013

    LIVERPOOL KARIBU KABISA KUSAINI WINGA WA BARCA

    IMEWEKWA JUNI 10, 2013 SAA 8:50
    KLABU ya Liverpool ipo karibu kumsaini kwa Pauni Milioni 5 winga wa klabu ya Sevilla, Luis Alberto. 
    Mwanasoka huyo mwenye umri wa miaka 20 amekuwa akicheza kwa mkopo Barca B na alitarajiwa kubakia Sevill, lakini Liverpool imeonyesha nia ya dhati kumbeba na ikibidi kupanda dau hadi Pauni Milioni 8.
    Wanted: Sevilla's Luis Alberto has attracted interest from Liverpool
    Anayetakiwa: Winga wa Sevilla, Luis Alberto ameivutia Liverpoor.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: LIVERPOOL KARIBU KABISA KUSAINI WINGA WA BARCA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top