![]() |
| Mfungaji wa bao la Stars, Amri Kiemba kushoto akimhamasisha Khamis Mcha 'Vialli' kuepeleka mpira baada ya bao wanze haraka kusaka mabao zaidi |
![]() |
| Mbwana Samatta akiwatoka mabeki wa Morocco |
![]() |
| Samatta huyooo |
![]() |
| Samattaaaa |
![]() |
| Thomas Ulimwengu akifumua shuti |
![]() |
| Thomas Ulimwengu akimtoka beki wa Morocco |
![]() |
| Samatta akiwatoka mabeki wa Morocco |
![]() |
| Samatta alifanya kazi...basi tu haikuwa bahati yake |
![]() |
| Samatta alikuwa tishio |
![]() |
| Kikosi cha Morocco kilichoifunga Stars 2-1 |
![]() |
| Watanzania waliokuja kuiunga mkono timu hapa |
![]() |
| Mfungaji wa bao la Stars, Amri Kiemba akiwatoka wachezaji wa Morocco |
![]() |
| Kikosi cha Stars leo |
![]() |
| Salum Abubakar 'Sure Boy' akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa Morocco |
![]() |
| Kevin Yondan akimdhibiti mshambuliaji wa Morocco |
![]() |
| Shomary Kapombe akimfukuza winga wa Morocco |
![]() |
| Mbwana Samatta alikuwa anakaba pia |
![]() |
| Zacharia Hans Poppe kulia |
![]() |
| Aggrey Morris alitolewa kwa kadi nyekundu kwa rafu iliyosababisha penalti na bao la kwanza la Morocco |
![]() |
| Erasto Nyoni akipambana |
![]() |
| Mashabiki wa Tanzania |
























.png)