• HABARI MPYA

    Thursday, August 16, 2012

    MZEE MWINYI, BIN ZUBEIRY KATIKA FUTARI 'NZITO' LEO

    Rais mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ally Hassan Mwinyi jioni hii alijimuika na Maofisa wa kampuni ya Feza, wamiliki wa shule ye Feza, katika msikiti wao, uliopo Victoria, Dar es Salaam kupata futari. Baadhi ya Wahariri wa Vyombo  vya Habari na Waandishi, pia walialikwa kwenye futari hiyo, akiwemo Ofisa Mtendaji Mkuu wa BIN ZUBEIRY Blog, Mahmoud Zubeiry, Mhariri wa Spoti Leo, Amir Mhando, Mhariri wa Habari wa Habari Leo, Mgaya Kingoba, Mhariri Mkuu wa Habari Leo, Joseph Kulangwa na mpiga picha wa magazeti ya Habari Leo na Spoti Leo, Mohamed Mambo. Pichani ni Mzee Mwinyi kushoto akizungumza na Maofisa wa Feza kulia kwake.

    Mzee Mwinyi kushoto akizungumza na Maofisa wa Feza

    Mgaya Kingoba na BIN ZUBEIRY

    Kulangwa kulia

    Akina mama walikuwepo

    Mhando na Ole wa RR

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MZEE MWINYI, BIN ZUBEIRY KATIKA FUTARI 'NZITO' LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top