• HABARI MPYA

    Thursday, September 13, 2012

    BALOTELLI AANZA KAZI RASMI MAN CITY


    Mario Balotelli amepona kabisa na amerudi kazini Manchester City na Nahodha Vincent Kompany amefurahia mno kurejea kwa Mtaliano huyo, aliyeanza mazoezi kamili na timu hiyo tayari kwa Ligi Kuu ya England.
    Stretching it: Mario Balotelli (centre) trains with his Manchester City team-mates
    Mario Balotelli (katikati) akifanya mazoezi na wachezaji wenzake Manchester City.
    Back in the swing of things: Balotelli (right) practices with a football along with Jack Rodwell, while Sergio Aguero (below) also continued his rehabilitation from a knee injury
    Balotelli (kulia) akipashana Jack Rodwell, wakati Sergio Aguero (chini) akiendelea kufanyia mazoezi goti lake linalouma 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALOTELLI AANZA KAZI RASMI MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top