• HABARI MPYA

    Saturday, March 09, 2013

    DROGBA AJIANGUSHA APEWA PENALTI, AKOSA, HASIRA ZAKE SASA...


    KWA namna yoyote mambo yamekuwa yakimuendea vizuri Didier Drogba tangu alipojiunga na Galatasaray.
    Lakini Ijumaa usiku gwiji huyo mkali wa mabao, mambo yalimuendea ovyo katika mechi dhidi ya Genclerbirligi.
    Alikwenda chini kiulaini kwenye eneo la hatari na ingawa hakulalamika, lakini alizawadiwa penalti.
    Tumble: Didier Drogba goes down in the box under little pressure
    Didier Drogba akienda chini baada ya kupewa kashikashi kidogo tu
    Whoops: But the Ivory Coast international smashed the penalty off target
    Lakini nyota huyo wa Ivory Coast akakosa penalti
    Frustrated: Drogba then kicked up the penalty spot in anger
    Kwa hasira, Drogba akapiga nyasi eneo ambalo hutengwa mpira wakati wa penalti

    Mbaya zaidi mwisho wa mchezo, timu ya Drogba ililala 1-0. 
    VIDEO: Angalia mambo ya Drogba jana...
     
     


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: DROGBA AJIANGUSHA APEWA PENALTI, AKOSA, HASIRA ZAKE SASA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top