• HABARI MPYA

    Monday, December 03, 2012

    STARS NA RWANDA KATIKA PICHA LEO LUGOGO

    Wachezaji wa Bara wakimpongeza Bocco baada ya kufunga bao la pili katika Robo Fainali ya kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge dhidi ya Rwanda. Bocco alishangilia huku akichechemea baada ya kufunfa bao hilo kutokana na kuumia, baada ya kugongwa na kipa wa Rwanda, Jean Claude Ndoli wakati anaenda kufunga. Bara ilishinda 2-0 na kutinga Nusu Fainali. 


    Kaseja amedaka, huku Yondan akiwa tayari kumsaidia


    Manahidha wakisalimiana kabla ya mechi, Juma Kaseja wa Bara kulia na Haruna Niyonzima wa Rwanda kushoto


    Kikosi cha Rwanda leo


    Kikosi cha Bara leo


    Watanzania waliokuja kuisapoti timu hapa


    Shomary Kapombe akimdhibiti Dadi Birori 


    Athumani Iddi 'Chuji' akiruka juu kulia kuokoa


    Amri Kiemba anamkokota mchezaji wa Rwanda


    Kocha Milutin Sredojevic 'Micho'


    John Bocco akiwashughulisha mabeki wa Rwanda


    Refa anaonyesha kati, baada ya Kiemba anayekimbia nyuma yake kufunga bao la kwanza


    Bao la Kiemba


    Mwinyi Kazimoto kulia akimburuza mchezaji wa Rwanda


    Ulinzi mkali langoni mwa Rwanda, lakini bado mbili zilipenya


    Bocco anasababisha


    Jean Claude Ndoli wa Rwanda aliyeruka hewani kudaka moja ya michomo ya hatari iliyoelekezwa langoni mwake


    Mwinyi huyooo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: STARS NA RWANDA KATIKA PICHA LEO LUGOGO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top